Msanii
Zuwena Mohamed ‘Shilole’, amefunguka kumzalia watoto wawili mpenzi wake
Nuh Mziwanda, kutokana na mapezi motomoto anayopata kutoka kwa mpenzi
wake huyo.
Shilole amesema kuwa, sambamba na kuwa na watoto wawili tayari hakutaweza kumzuia kumzalia mpenzi wake watoto hao kwa kuwa amepata mpenzi ambaye ana kila sababu ya kupewa zawadi ya watoto.
Source-EAST AFRICA RADIO.
Shilole amesema kuwa, sambamba na kuwa na watoto wawili tayari hakutaweza kumzuia kumzalia mpenzi wake watoto hao kwa kuwa amepata mpenzi ambaye ana kila sababu ya kupewa zawadi ya watoto.
Source-EAST AFRICA RADIO.

No comments:
Post a Comment