![]() |
| Marehemu msanii Mez B enzi za uhai wake. |
siku aliyofariki Mez B aliamka na kunywa dawa na chakula ila hali yake haikuwa sawa na kuonekana amelegea. Daktari wake alipigiwa simu na kuamuru awekewe drip ila hali yake haikutengamaa, wakati wanampeleka hospitalini alifia mapokezi.
Pole kwa familia ya Mez B, Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema, Amen.
NB-Na Hizi ni PICHA zikionyesha taswira halisi ya Mazishi ya msanii Mez B mkoani Dodoma,
![]() |
| Mama mzazi wa Mez B, Marry Mkandawile (katikati) akiwa ameshikiliwa na ndugu baada ya kuingia viwanja vya Mashujaa ili kutoa heshima za mwisho. |
![]() |
Baadhi ya wasanii waliohudhuria msiba wa Mez B wakiwa kwenye majonzi mazito
|
![]() |
| Mtangazi wa Citizen TV anayejulikana kwa jina la Mzazi Willy Tuva akifanya mahojiano na msanii wa Bongo Fleva Dogo Janja"Janjaro". |









No comments:
Post a Comment