Mcheza filamu za kibongo ambaye pia ni muigiazaji wa michezo ya
kuigiza kupitia kituo cha televisheni cha Chanel Ten, Rachel Silvestar
amesma anashangazwa na baadhi ya watu kumchukulia vibaya muigizaji
mkongwe JB baada ya kuonekana amekopi filamu ya kihindi na kuiita mzee
wa swaga wakati hicho kitendo ni cha kawaida kwenye sanaa duniani na JB
sio mtu wa kwanza kukupi filamu za nje
Amesema wasanii wakubwa pia kama marehemu Kanumba na Ray nao wamewahi kukopi filamu za nje tena mpaka majina tofauti na alivyofanya JB kuchukua tu stori,na ikumbukwe ukikopi ukafanya vizuri basi hiyo ndio sanaa maana wengi wanakopi lakini hawafanyi vizuri ila JB amefanya vizuri
Hapo juu ni baadhi ya filamu za kizungu ambazo marehemu kanumba na ray walizikopi stori mpaka majina,
Amesema wasanii wakubwa pia kama marehemu Kanumba na Ray nao wamewahi kukopi filamu za nje tena mpaka majina tofauti na alivyofanya JB kuchukua tu stori,na ikumbukwe ukikopi ukafanya vizuri basi hiyo ndio sanaa maana wengi wanakopi lakini hawafanyi vizuri ila JB amefanya vizuri
Hapo juu ni baadhi ya filamu za kizungu ambazo marehemu kanumba na ray walizikopi stori mpaka majina,
![]() |
Picha-Rachel akiwa na Zamaradi. |
No comments:
Post a Comment