![]() |
Picha hii ilikuwa ni Mwaka 2012 nyumbani kwake Kiborloloni, |
Awali baadhi ya Wakazi wa Moshi Mjini Jimbo analogombea Bw,Davis Mosha walionyesha kulalamikia kupitishwa kwa Mgombea huyo na Chama Tawala{CCM}kugombea Ubunge kupitia Jimbo hilo kwa kuwa Bw,Davis Mosha mfanyabiashara maarufu jijini Dar es salaam HANA makazi jimboni humo,hivyo si sahihi kwake kupewa Ridhaa ya kugombea kupitia Jimbo hilo....
KUTOKA MAHAKAMANI:-
No comments:
Post a Comment