Saturday, 18 April 2015

PICHA-BALAA LAZIDI KUPAMBA NCHINI AFRIKA YA KUSINI NI BAINA YA WAGENI NA WENYEJI..

Kambi walikohifadhiwa raia wakigeni.

Raia wakigeni akijaribu kuhamisha mali zake.

Raia wakigeni akitulizwa na polisi.

Raia wakigeni akishika silaha kujihami.

Maandamo yakupinga ubaguzi dhidi ya wageni nchini afrika kusini


Baadhi ya wenyeji wakiwa chini ya ulinzi wa polisi.

Polisi wakiendelea na doria kutuliza ghasia.


Raia wa kigeni wakijiami kwa silaha.



Raia wa kigeni aliyeshambuliwa gari lake na kuvunjwa vioo.

wenyeji wakikimbia mabomu ya machozi toka kwa polisi.
ia
polisi wakiendelea na doria kulinda usalama.

No comments: