RAHA MASTERS INC & GRAPHIC DESIGNERS.
FIND US ON:-FACEBOOK as Ngessakinollo OR dvjKson on INSTAGRAM.
Sunday, 31 May 2015
CHEKA NOMA! AMPIGA MTHAILAND KWA TKO, AMTOA VIDAMU PUANI
Cheka akimzibua Box Mthailand.
Mthailand Singwacha akiandaliwa na Msaidizi wake kabla ya Pambano kuanza.
Wadau wakifuatilia Mpambano.
Mthailand Singwacha akichirizika damu baada ya kichapo.
BONDIA Francis Cheka jana aliendeleza ubabe kwa kumchapa bondia Kiatchai
Singwancha kutoka Thailand katika pambano lililofanyika Ukumbi wa PTA
uliopo Viwanja vya maonesho vya Mwalimu Nyerere jijini Dar es Salaam.
Pambano hilo Cheka alilimaliza katika raundi ya nane baada ya kumteua
bega mpinzani wake.
No comments:
Post a Comment