Tuesday, 12 May 2015

DIAMOND ALALAMIKIA TUZO ZA KILI MUSIC AWARD{KTMA}

Mfuatiliaji mzuri wa BLOG yetu utakumbuka mwaka jana msanii Diamond Platnumz jinsi alivyovunja rekodi ya 20 Percent [Tuzo tano] kwa kunyakua tuzo saba za kilimanjaro hapa Tanzania.
Msanii huyu mwaka huu ameonyesha nia yakutofanya mpango wa kuomba kura kutokana na sababu alizoandika hapa.


No comments: