Tuesday, 12 May 2015

P SQUARE WAONGELEA KUKAMILIKA KWA COLLABO YAO NA DIAMOND PLATNUMZ.

Wasanii  wanaotajwa kuongoza kwa utajiri kwenye orodha ya wasanii matajiri zaidi nchini Nigeria P Square wamekamilisha kazi iliyowaleta pamoja na Msanii Diamond Platnumz kutoka Tanzania, wimbo huu ni wa Msanii Diamond na post ya P Square imeonyesha wazi kuwa ni collabo waliyoombwa na mashabiki wao kwa muda sasa.

No comments: