![]() |
| Makamua |
Makamua
amesema kuwa ndani yake inahusisha pia mastaa wengi na wakubwa kabisa
kutoka tasnia ya muziki wa Bongo Flava, ambapo mpaka sasa projekti hiyo
imekwisha kamilika.
Ameongezea kuwa hatua ya kuifikisha kwa wananchi ipo katika mipango ambayo inachukua muda kidogo kutokana na ukubwa wake,
Ameongezea kuwa hatua ya kuifikisha kwa wananchi ipo katika mipango ambayo inachukua muda kidogo kutokana na ukubwa wake,
![]() |
| Toka kushoto Makamua,Kekuu & Joslin. |


No comments:
Post a Comment