RAHA MASTERS INC & GRAPHIC DESIGNERS.
FIND US ON:-FACEBOOK as Ngessakinollo OR dvjKson on INSTAGRAM.
Tuesday, 12 May 2015
NISHA AVAMIWA NA KUIBIWA NA MAJAMBAZI.
Muigizaji Salma Jabu{Nisha}
“Kila jambo hujengwa kwa imani,nakushukuru baba hakika wewe ndo ulinipa na wewe ndo umechukua, ahsanteni wezi/majambaziWapenzi
nimevamiwa usiku wa kuamkia leo (jana), watu wasiopungua
watano,wamekuja na gari kabisa,wamechukua walivyochukua kikubwa nipo
hai’-
Hayo ndiyo maelezo ya Staa wa Bongo Movies Salma Jabu ‘Nisha’ mara
baada ya Wezi kumvamia na kukomba vitu baadhi kama unavyoona hapo juu
pichani. Pole sana Nisha, Mungu akupe nguvu na baraka zaidi.
No comments:
Post a Comment