Jana kwenye ukurasa wa Instagrama wa @Cloudsfmtz waliposti mambo ambayo
Nikki wa Pili aliyaandika ili kuwapa husia wasanii wanao kuja kuwa na
style yao tofauti katika muziki huu wa Hip Hop pia alielezea ni kwa
jinsi gani wasanii wa HipHop wa zamani ambavyo wamekuwa hawafanyi vizuri
na mambo mengi alizungumzia kuhusiana na muziki wa Hip Hop
Sasa baada ya Cloudsfm kupost Nikki Mbishi akaona na akibidi amjibu Nikki Wa Pili kwa kumwambia Kama wewe unafanya na uko happy nacho then fanya ila usipotoshe tena kwa kutumia kivuli cha Hip Hop ili hali tunafahamu wewe ni mfanya biashara That’s not Hip Hop ,That’s something else
Sasa baada ya Cloudsfm kupost Nikki Mbishi akaona na akibidi amjibu Nikki Wa Pili kwa kumwambia Kama wewe unafanya na uko happy nacho then fanya ila usipotoshe tena kwa kutumia kivuli cha Hip Hop ili hali tunafahamu wewe ni mfanya biashara That’s not Hip Hop ,That’s something else


No comments:
Post a Comment