Sunday, 21 June 2015

YOUNG BILLIONARE WA MADINI WA ARUSHA AFARIKI DUNIA

Jimmy Enzi za uhai wake Akiwa Kwenye Helkopta yake aliyokuwa anaitumia kwenye safari zake za hapa na pale.

Mfanyabiashara wa madini,mwenye umri mdogo Jimmy Mcmele,21 amefariki dunia juzi usiku kwa ajali ya gari maeneo ya Mbuyuni-Tegeta, Dar akiwa na katika gari yake aina ya Benz. Jimmy anazikwa leo,Mbweni,Bahari Beach nyumbani kwa mama yake mzazi.

                                                      RIP Jimmy.

No comments: