Nimechukua fomu ya kuomba kuteuliwa na chama changu,Chama cha Demokrasia
na Maendeleo (CHADEMA) kukiwakilisha kuwania Urais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania. Ninapenda kutoa shukrani kubwa kwa viongozi na
wanachama wa CHADEMA kwa heshima hii kubwa pamoja na wananchi kwa ujumla
kwa kujitokeza kwa wingi leo kuniunga mkono. Asanteni sana.

No comments:
Post a Comment