Mastaa wawili wa muziki walioteka vichwa vya habari bongo kwa stori
yao ya beef mpaka kupelekea matusi mitandaoni na makundi ya watu
kujigawa sababu yao wamedhihirisha kuwa hawana tofauti na ilikuwa
MISUNDERSTANDING ya mashabiki wao.
Kwa mfuatiliaji mzuri wa habari za muziki hii stori ilipelekea baadhi ya Watanzania kufikia kutompigia kura Diamond na kumpa kura yao Davido kwenye tuzo za MAMA.
Wakiwa wamekutana kwenye kilele cha tuzo hizo nchini Afrika kusini wasanii hawa wameionyesha dunia kuwa hakuna tofauti kati yao.
Kwa mfuatiliaji mzuri wa habari za muziki hii stori ilipelekea baadhi ya Watanzania kufikia kutompigia kura Diamond na kumpa kura yao Davido kwenye tuzo za MAMA.
Wakiwa wamekutana kwenye kilele cha tuzo hizo nchini Afrika kusini wasanii hawa wameionyesha dunia kuwa hakuna tofauti kati yao.



No comments:
Post a Comment