Wanamgambo
wa Jiji la Dar-es-Salaam wakishirikiana na Polisi wamewaamuru
Wamachinga wa Kariakoo kuanzia leo Jumatatu wahamie Jangwani kufanya
biashara zao.
Jambo lililopingwa vikali na Wamachinga hao,wakigomea uhamisho wakidai Biashara zao zinahitajika kuuzika mjini na wala si kwingineko
TUTAENDELE KUWAJUZA KILA TUTAKAPOPATA TAHARIFA ZAIDI.........
Jambo lililopingwa vikali na Wamachinga hao,wakigomea uhamisho wakidai Biashara zao zinahitajika kuuzika mjini na wala si kwingineko
TUTAENDELE KUWAJUZA KILA TUTAKAPOPATA TAHARIFA ZAIDI.........
No comments:
Post a Comment