![]() |
Peniel Mangilwa"Penny" |
![]() |
Diamond & Penny walivyokutana. |
Tukio hilo lililoshuhudiwa na Ijumaa Wikienda lilijiri wikiendi iliyopita nyumbani kwa Aunt, Mwananyamala, Dar ambapo pati hiyo ilihudhuriwa na mastaa kibao.
Katika tukio hilo, Diamond ndiye aliyeanza kumuona Penny akamwita kwa lengo la kumsalimia ambapo naye alitii akionekana mwenye furaha kisha walikumbatiana huku baadhi ya waalikwa wakiwataka kukumbushia enzi za mapenzi yao.
![]() | |
Pichani Diamond na Meneja wake"Babu Tale"wakipata Futari kwenye Arobaini ya Mtoto wa Aunt Ezekiel"Cookie" |
Baadaye, Penny aliwasalimia baadhi ya watu waliokuwa wamekaa na Diamond na kwenda kukaa pembeni yao huku akitazamana na Diamond kwa shauku kubwa.
![]() |
Aunt Ezekiel alivyotokelezea siku ya Arobaini ya mwanae"Cookie". |
![]() |
Moze Iyobo,Aunt Ezekiel na Mtoto wao"Cookie" |
“Hapa tumealikwa na kila mtu amekuja kivyake, sasa si rahisi ukawaona watu usiwasalimie au uchukie maana hakuna sababu ya kufanya hivyo, sina ugomvi na Diamond na sina mipaka yoyote ya kusalimiana au kuongea naye,” alisema Penny.
Kwa upande wa Diamond alisema kuwa alikuwa pale kwa ajili ya kufuturu na kumfurahia kila mtu hivyo hakuna dhambi yoyote kwake kusalimiana na Penny.
Source-GPL.
No comments:
Post a Comment