![]() |
| Mh. Edward Lowassa akiwasili makao makuu ya Chadema Kinondoni jijini Dar es salaam leo Alhamisi 30 Julai 2015, Kwa ajili ya kuchukua fomu |
![]() |
| Mhe. Edward Lowassa (kushoto) na akiwa na mke wake Regina Lowassa wakisaini datari la wageni katika ofisi za Chadema makao makuu jijini Dar es salaam, Leo Alhamisi 30 Julai 2015 |
![]() |
| Mwanasheria mkuu wa Chadema Mhe. Tundu Lissu akiongea katika ghafla fupi ya Mhe.Edward Lowassa akichukua fomu katika ofisi za Chadema makao makuu jijini Dar e salaam |
HABARI - JULY.30.2015 | AZAM TVChama cha Demokrasia na maendeleo CHADEMA kimempitisha bila kupinga Mhe. Edward Lowassa kuwa mgombea wa Uraisi.
Posted by Simu.TV on Thursday, July 30, 2015










No comments:
Post a Comment