![]() |
| Mwanamuziki wa Dansi nchini, Ramadhan Masanja ‘Banza Stone. |
“Tunamshukuru Mungu mgonjwa wetu ameruhusiwa japo bado hali yake haijatengamaa kwani tofauti na matatizo ya awali ya fangasi za kichwani, anakabiliwa na upungufu wa damu hivyo tumeshauriwa tumpe vyakula vya kuongeza damu,” alisema Hamis.

No comments:
Post a Comment