RAHA MASTERS INC & GRAPHIC DESIGNERS.
FIND US ON:-FACEBOOK as Ngessakinollo OR dvjKson on INSTAGRAM.
Tuesday, 21 July 2015
Shilole Atoboa Sababu ya Kuachana na Nuh Mziwanda
Nuh Mziwanda & Shilole.
Staa wa Bongo Movies na Bongo Fleva, Zuwena Mohamed ‘Shilole’ amedai
kuwa wivu ndiyo uliosababisha yeye na mchumba wake Nuh Mziwanda
kuachana. “Nuh haniamini kabisa na ana wivu kupitiliza ndo chanzo cha kuachana” Shilole amenukuliwa na Eatv.tv akieleza hilo. Wawili hao wamekuwa wakijibizana kwa maneno ya shombo kwenye midandao ya kijamii mara baada ya kuachana kwao.
No comments:
Post a Comment