Monday, 24 August 2015

CHADEMA WADAI KUNASA KADI FEKI ZA MPIGA KURA

Mgombea ubunge Jimbo la Ubungo kupitia Chadema, Saed Kubenea akionyesha baadhi ya kadi 100 za kupigia kura ambazo hazina taarifa zilizodaiwa kukamatwa hivi karibuni. Kulia ni Mwenyekiti wa Baraza la Wanawake wa Chadema (Bawacha) ambaye pia ni mgombea wa Kawe, Halima Mdee. Wagombea hao walidai kadi hizo ni mpango wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), kujiandaa kuisaidia CCM katika uchaguzi. 
source: MCL

No comments: