![]() |
| Joseph wemeru |
Bwana Joseph ana kucha zenye urefu wa futi 1.3 amezidi kuwa maarufu Mombasa nchini Kenya kwa kucha zake.
Disadvantage iliyopo ni kwamba hawezi kufua wala kuingiza mkono sehemu yoyote kama kwenye wallet.
Na kitu kizuri kwa bwana Joseph ni kwamba katika kucha zake,amejichora rangi ya bendera ya Kenya na amesema kwa yoyote atakayekuwa akitaka kupiga picha basi atakutana na rangi ya bendera ya Kenya.

No comments:
Post a Comment