Wednesday, 26 August 2015

MSHINDI WA MILIONI HAMSINI ZA TMT AMLIZA RAY KIGOSI UKUMBINI.

Msanii wa filamu Vicent Kigosi ‘Ray’ akibembelezwa.


BONGE la soo! 
Katika hali ya kushangaza, msanii wa filamu Vicent Kigosi ‘Ray’ hivi karibuni alijikuta akiangua kilio ukumbini baada ya mshindi wa shindano la kusaka vipaji vya kuigiza kufananishwa na marehemu Steven Kanumba.
Mshindi wa TMT 2015,Dennis Luis Laswai muda mfupi baada ya kutangazwa rasmi kuwa ndiye mshindi wa shindano hilo.
Tukio hilo lilitokea mwishoni mwa wiki iliyopita katika Ukumbi wa Makumbusho ya Taifa, Posta, jijini Dar kulipokuwa na fainali za Shindano la Tanzania Movie Talents (TMT) ambapo washiriki 10 ndiyo walikuwa wakiwania kitita cha shilingi milioni 50.

No comments: