Kama kawaida ya Soudy Brown leo kazipata nyepesi kuhusu msanii Edo Boy kampeleka polisi mwenzake Young Killer, kisa inasemekana wanadaiana pesa..
Shuhuda wa tukio hili alimwambia Soudy kuwa Young Killer alishindwa kumlipa mwenzake hela yake na wakakunjama mbele za watu wakitaka kupigana huku wakielekea Polisi.
Edo Boy ameomba hayo mambo yaishe na hataki kuyazungumzia, amesema hajui Young Killer alipo kwa sasa…amesema hayo ni mambo private haina haja ya kuyaweka hadharami.
Shuhuda wa tukio hili alimwambia Soudy kuwa Young Killer alishindwa kumlipa mwenzake hela yake na wakakunjama mbele za watu wakitaka kupigana huku wakielekea Polisi.
Edo Boy ameomba hayo mambo yaishe na hataki kuyazungumzia, amesema hajui Young Killer alipo kwa sasa…amesema hayo ni mambo private haina haja ya kuyaweka hadharami.

No comments:
Post a Comment