Baada
ya mazungumzo kati ya Jeshi la Polisi kanda maalum ya Dar es Salaam na
Viongozi wa UKAWA, hatimaye jeshi la Polisi limekubali na kuruhusu
maandamano ya mgombea Urais CHADEMA Mh. Lowassa yaanzie ofisi za CUF
Buguruni kwenda Tume ya uchaguzi (NEC)
 |
| Mwenyekiti wa NCCR-MAGEUZI Inj James Mbatia. |
Umati wa Wananchi wa jiji la Dar es salaam wakimsindikiza Waziri mkuu msaafu Edwald Ngoyai Lowassa (CHADEMA) wakati akielekea kuchukua fomu ya kugombea nafasi ya urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,kupitia chama cha Demokrasioa na Maendeleo
(CHADEMA) wakitokea ofisi za CUF na kuhitimisha katika ofisi za NEC jijini Dar es Salaam leo.
No comments:
Post a Comment