Msanii mkongwe Juma Khassim Nature ametangaza rasmi kurudi na kukipigia
kampeni chama Tawala CCM. Aliyasema hayo siku ya jana alipokua akifanya
mahojiano na waandishi wa Habari kuhusiana na msimamo wake kwenye
kampeni za kisiasa ambapo pia alifuatana na Mgombea ubunge jimbo la
Mbagala Issa Mangungu.

No comments:
Post a Comment