Friday, 18 September 2015

JOH MAKINI NA WEUSI WAKATAA MAMILIONI YA KAMPENI.

Joh Makini
Msanii Joh Makini na kundi zima la Weusi wameonyesha kuwaheshimu mashabiki wao kiasi ambacho wamekataa mamilioni ya fedha kushiriki kwenye kampeni za siasa zinazoendelea kila kona ya Tanania.
Akithibitisha hilo Joh amesema ingawa wakiwa kama wasanii wana uhuru na haki ya kufanya hivyo, lakini wao kama Weusi wameona watawachanganya mashabiki wao.
Chanzo:-EATV.

No comments: