Thursday, 3 September 2015

LOWASSA-NNAYAJUA VYEMA MAHITAJI NA KERO ZA WATANZANIA.

Mgombea urais Chadema asema anajua vizuri mahitaji na kero za watanzania.

Mgombea urais wa vyama vinavyounda UKAWA Mh Edward Lowassa aendelea na kampeni za kunadi sera zilizoko kwenye ilani ya UKAWA katika mkoa wa Rukwa na amewaomba watanzania kumpa dhamana ya kuleta mabadiliko ya kweli kwani uwezo huo anao na anachohitaji ni ushirikiano wao.

Mh Lowassa akiambatana na viongozi na wanachama wa UKAWA baada ya kupata mapokezi makubwa ya aliyoanzia kwenye uwanja wa ndege wa Sumbawanga anazungumza na maelfu ya wananchi walijitokeza amesema anajua vizuri mahitaji na kero za watanzania na mahitaji nafasi ya kuziondoa.

No comments: