Thursday, 3 September 2015

Mama Lowassa awataka wanawake wasikubali kurubuniwa.

Akiongea na wanawake wa mjini Sumbawanga mkoani Rukwa,mke wa Mgombea urais kupitia chama cha DEMOKRASIA na maendeleo Chadema na UKAWA mheshimiwa Edward Lowassa, Mama Regina Lowassa,amesema wanawake wanapaswa kufanya mabadiliko kupitia masanduku ya kura mwaka huu, ili wapate neema ya kuwa na mazingira mazuri ya kufanyia shughuli zao za kibiashara zisizokuwa na wingi wa kodi na ushuru kama ilivyo hivi sasa,zinazowaletea kero na kuwafanya wasiwe na maendeleo yoyote.

No comments: