Mgombea urais wa CCM John Magufuli katika kampeni zake jana maeneo
tofauti ya Korogwe, Mkinga na Lushoto, Bumbuli nk. Magufuli amebainisha
kuwa iwapo atachaguliwa kwenye uchaguzi
mkuu mwaka huu, basi Serikali yake itahakikisha inaboresha maslahi ya
watumishi wa majeshi ya ulinzi na usalama nchini kutokana na kutambua
mchango wao katika kulinda amani ya nchi yetu.







No comments:
Post a Comment