Thursday, 10 September 2015

MSANII ROMA ALALAMIKIA KUFUNGIWA NYIMBO YAKE.

Baada Rapa Roma Mkatoliki ya kuachia wimbo wake wa 'Viva Roma viva', rapa huyo amedai kuwa wimbo wake huo unataka kufungiwa

" WANATAKA KUIFUNGIA NYIMBO YANGU!! KISA TU NIMEONGEA UKWELI!! INANIUMA SANA NATAMANI HATA KULIA NIKIONA UKWELI HAUPEWI NAFASI!! NIOMBEENI NA MNIKUMBUKE KWENYE SALA ZENU NDUGU ZANGU!! Viva Roma viva" ameandika hivyo Roma
WAWEZA KUISIKILIZA NYIMBO HIYO HAPO CHINI,

No comments: