Taasisi ya Twaweza imetoa utafiti wake ambao inasema imeufanya kwa
wananchi wa Tanzania bara kutoka mikoa tofauti ya Tanzania. Swali la
kama uchaguzi ungefanyika leo, ungempigia kura mgombea wa chama gani?
Wao wanasema watu wamejibu kama ifuatavyo:-
CCM - 66%
CHADEMA - 22%
CUF - 1%
ACT wazalendo - 0%
UKAWA - 3%
Kingine - 6%
Hakuna jibu 2%
Wao wanasema watu wamejibu kama ifuatavyo:-
CCM - 66%
CHADEMA - 22%
CUF - 1%
ACT wazalendo - 0%
UKAWA - 3%
Kingine - 6%
Hakuna jibu 2%
No comments:
Post a Comment