RAHA MASTERS INC & GRAPHIC DESIGNERS.
FIND US ON:-FACEBOOK as Ngessakinollo OR dvjKson on INSTAGRAM.
Thursday, 10 September 2015
WASSIRA ASHINDWA KUJIBU SWALI LA WANANCHI WAKE.
Kampeni hizi mpaka ziishe Watanzania tutajionea mengi ya kuchekesha na
kuudhi. Wassira akiwa kwenye kampeni juzi aliulizwa Swali na Wananchi
kuwa aliahidi kwa kipindi chake alichokua Mbunge angeleta Maji lakini
mpaka sasa hamna maji.
Mbunge huyo nae alijibu kwa kuuliza Swali, "Kama MnasemaHamnaMaji, JeMnamezeaniniDawa?"
Hili swali liliwashinda Wananchi hao kulijibu na hivyo Mbunge huyo
akaifanya Agenda hii ya tatizo la Maji sio tatizo kubwa kwa kuwa Watu
Wanakunywa Dawa.
No comments:
Post a Comment