RAHA MASTERS INC & GRAPHIC DESIGNERS.
FIND US ON:-FACEBOOK as Ngessakinollo OR dvjKson on INSTAGRAM.
Tuesday, 20 October 2015
Chopa ya Lusinde yapata hitilafu, Mwenyewe aapa kutoipanda
Mgombea
ubunge wa Jimbo la Mtera (CCM), Livingstone Lusinde
Mgombea
ubunge wa Jimbo la Mtera (CCM), Livingstone Lusinde ameapa kutotumia
tena usafiri wa anga katika kampeni, baada ya helikopta aliyokuwa
anatumia kupata hitilafu na kushindwa kuruka katika Kijiji cha Idifu
wilayani hapa, juzi.
Lusinde maarufu kwa jina la Kibajaji
alithibitisha kuwa helikopta hiyo ilishindwa kuruka baada ya rubani
kubaini ilikuwa na hitilafu, na ilikuwa imetua katika eneo la kichaka
kijijini hapo.
No comments:
Post a Comment