Sunday, 25 October 2015

Dkt ALI MOHAMED SHEIN APIGA KURA YAKE UNGUJA.


Mgombea urais wa Zanzibar kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM), Dk. Ali Mohammed Shein, wakati akipiga kura yake kwenye Kituo cha Skuli ya Bungi kusini mwa kisiwa cha Unguja asubuhi hii. (Picha na Deutsche Welle)

No comments: