Sunday, 22 November 2015

Magufuli afyeka 50 waliokuwa kwenye orodha ya kushiriki ziara ya Madola.

Rais J.P.Magufuli.
Raisi Magufuli amezuia maafisa 50 waliokuwa wasafiri kwa ajili ya kwenda kushirika kwenye ziara ya Jumuiya ya Madola.

Badala yake ameruhusu maafisa wanne tu na kuokoa jumla ya sh milioni 700 ambazo zingetumika kulipia posho za safari na kugharamia ticket za ndege.


Rais John P. Magufuli amefuta majina ya maafisa wa Serikali 50 na kubakiza 4 tu waliotakiwa kwenda kwenye mkutano wa Jumuiya ya Madola

-Hatua yake hiyo imeokoa takribani milioni 700 ambazo zingetumika kwenye malipo ya posho na tiketi za ndege

 
Chanzo:Nipashe

No comments: