Watu 100 mpaka sasa wamethibitishwa kufariki kutokana na matukio ya kulipuka kwa mabomu na kupigwa risasi katika mitaa ya Paris

Watu 100 wasadikiwa kuwa wameshikiliwa mateka

UPDATE 1 : Idadi ya watu waliofariki imefikia watu 40 mpaka sasa

UPDATE 2
: Polisi wavamia Bataclan Concert Hall: Watekaji 2 wauawa, Watu 100 wafariki

UPDATE 3
: Zaidi ya watu 140 wanaaminika kuuwawa kwenye matukio hayo

==============================