![]() |
Dr Tulia Ackson, |
=========================
Kwa mujibu wa Msemaji wa Serikali ya Tanzania, Assah Mwambene, ameithibitisha kutenguliwa na kuteuliwa kwa Dk. Tulia.
Katibu wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Thomas Kashilila, amekiri kupokea taarifa ya uteuzi wa Dk. Tulia mapema leo asubuhi.
Awali kabla ya uteuzi huo, Dr Tulia alikuwa Naibu Mwanasheria Mkuu wa Serikali, ambapo pia hapo jana Novemba 15, 2015 alikuwa ameteuliwa na Chama Cha Mapinduzi (CCM) kugombea nafasi ya Spika wa Bunge.
No comments:
Post a Comment