Friday, 18 December 2015

MBOWE AMPONGEZA RAIS MAGUFULI KWA KUTEKELEZA ILANI YA CHADEMA NA UKAWA.

Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe, amesema wanampongeza Rais Magufuli, kwa harakati zake za kutekeleza ilani ya Chadema na vyama vinavyounda umoja wa katiba ya Wananchi UKAWA. Amesema madudu ya ufisadi na uozo unaotumbuliwa hivi sasa baada ya kufanywa na baadhi ya watendaji serikalini ni matokeo ya sauti walizozipaza wapinzani, wakati CCM walikuwa wanaona ni kelele.

No comments: