![]() |
| Picha ya January 2015 Prof. Lipumba akiwa Mahakamani |
Kesi hiyo ilianza kusikilizwa toka January 2015, ninayo ripoti kutoka kwenye taarifa ya habari ya ITV kwamba Prof. Lipumba na watu wote 30 wamefutiwa mashtaka yaliyokuwa yakiwakabili Mahakamani hapo.


No comments:
Post a Comment