RAHA MASTERS INC & GRAPHIC DESIGNERS.
FIND US ON:-FACEBOOK as Ngessakinollo OR dvjKson on INSTAGRAM.
Monday, 4 January 2016
Maghembe afichua siri uteuzi wa Jenerali Milanzi.
Waziri
wa Maliasili na Utalii, Profesa Jumanne Maghembe
Waziri
wa Maliasili na Utalii, Profesa Jumanne Maghembe amefichua sababu za
Rais John Magufuli, kumteua Meja Jenerali Gaudence Milanzi kuwa Katibu
Mkuu wa wizara hiyo.
Profesa Maghembe alisema lengo ni kuwa na
kamanda atakayeongoza mapambano dhidi ya ujangili na kutoa onyo kwa
majangili kujisalimisha na silaha zao, vinginevyo watakiona cha mtema
kuni
No comments:
Post a Comment