![]() |
Mbunge wa Bukoba Mjini (Chadema), Wilfred Lwakatare |
Mbunge huyo mwishoni mwa wiki alikuwa akisambaza vifaa tiba katika vituo vya afya na zahanati, lakini wasimamizi walikataa kuvipokea, huku wengine wakikimbia wakidai walipewa maelekezo na viongozi wao kutovipokea.
Chanzo-Mwananchi.
No comments:
Post a Comment