Poachers shot and killed Capt Roger, a helicopter pilot who was on a
mission to help Rangers find killers of an elephant at Maswa Game
Reserve near Serengeti National Park.
Capt Roger, a British national, was shot mid air by poachers AK47, managed to land his chopper but sadly died before his rescue last night
Kwa mara ya kwanza katika historia ya uhifadhi nchini Majangili wamempiga risasi na kumuua Rubani Rogers na kuangusha helikopta aliyokuwa akitumia kwa risasi.
Alikuwa akienda kuongeza nguvu ya askari wa uhifadhi waliokuwa wakipambana na majangili hatari wilayani Meatu, Simiyu katika ranchi ya wanyamapori ya Mwiba.
Chopper baada ya kuanguka.
Kadiri ya taarifa ninavyozipata alikuwa anatua kuchukua Rangers waliokuwa doria majangili wakawaotea kwenye chopper walikuwa wawili 2 hivyo jamaa waliwapiga risasi wakiwa juu lakini walijitahidi na kutua sehemu nyingine baada ya muda mfupi pilot mmoja wapo (Rogers) alifariki. Nimethibitisha sasa.
Capt Roger, a British national, was shot mid air by poachers AK47, managed to land his chopper but sadly died before his rescue last night
Kwa mara ya kwanza katika historia ya uhifadhi nchini Majangili wamempiga risasi na kumuua Rubani Rogers na kuangusha helikopta aliyokuwa akitumia kwa risasi.
Alikuwa akienda kuongeza nguvu ya askari wa uhifadhi waliokuwa wakipambana na majangili hatari wilayani Meatu, Simiyu katika ranchi ya wanyamapori ya Mwiba.
Chopper baada ya kuanguka.
![]() |
| Waziri wa Maliasili na Utalii Prof,Jumanne Maghembe akiwa eneo la tukio. |
Kadiri ya taarifa ninavyozipata alikuwa anatua kuchukua Rangers waliokuwa doria majangili wakawaotea kwenye chopper walikuwa wawili 2 hivyo jamaa waliwapiga risasi wakiwa juu lakini walijitahidi na kutua sehemu nyingine baada ya muda mfupi pilot mmoja wapo (Rogers) alifariki. Nimethibitisha sasa.




No comments:
Post a Comment