Hii ni Collabo ambayo inasubiriwa sana na Mashabiki wa Ali Kiba na Sauti
Sol, Audio ya Collabo hii ilifanyika mwishoni mwa mwaka jana, sasa
video ya wimbi huu iko inatengenezwa nchini Kenya katika mji wa Mombasa.
Justin Campos ni Director anaeshoot video hiyo, Mke wa Justin Campos aitwaye Candice amepost picha na kuandika “Guess what we have been up to? @sautisol @iamchimano @bienaimesol @officialalikiba @gorilla_films @icandicam #Mombasa #Kenya [movie_camera [sunglasses] #onset #setlife #tanzania #africa #anotherone]“
Justin Campos ni Director anaeshoot video hiyo, Mke wa Justin Campos aitwaye Candice amepost picha na kuandika “Guess what we have been up to? @sautisol @iamchimano @bienaimesol @officialalikiba @gorilla_films @icandicam #Mombasa #Kenya [movie_camera [sunglasses] #onset #setlife #tanzania #africa #anotherone]“

No comments:
Post a Comment