Nuh: Nimesikitishwa sana Shilole kufuta ‘’tattoo’’ yangu.
‘’Kiukweli
nimesikitika sana hata kama tumeachana mimi mbona sijafuta tattoo zake
na sina mpango wa kuzifuta kwa sasa,’’Alisema Nuh
Hata hivyo Shilole alipoulizwa kuhusiana na alichokisema Nuh alisema kuwa mbona Nuh aliwahi kuwapost mademu zake wapya mara tu baada ya kuachana.
‘’Mimi nimewahi kufuta tattoo kwa sababu yeye alianza kuwapost mademu zake wapya Instagram baada ya kuachana,’’Alisema Shilole.
No comments:
Post a Comment