Wasanii wengi wamekuwa wakitumia njia mbalimbali katika kupromote nyimbo
wanapokaribia kuzitoa, Leo nimekutana na picha hizi katika account ya
Instagram ya Msanii Linex Sunday Mjeda ambaye katika muonekano wa Picha hizo anaonekana kama amefunga
ndoa.
Moja ya post zake Linex Sunday Mjeda ameandika “Kuna Maamuzi hayaitaji Matangazo.”
Je ni kweli Linex amefunga ndoa au anakuja na video mpya? tusubiri tuone.
Moja ya post zake Linex Sunday Mjeda ameandika “Kuna Maamuzi hayaitaji Matangazo.”
Je ni kweli Linex amefunga ndoa au anakuja na video mpya? tusubiri tuone.
No comments:
Post a Comment