Friday, 8 January 2016

SHILOLE AFUNGUKA KINACHOENDELEA BAADA YA KUMWAGANA NA NUH MZIWANDA.

Mwaka 2016 umeanza huku kukiwa na stori kubwa ya mastaa wawili wa muziki waliokuwa na uhusiano wa kimapenzi, Shilole na Nuh Mziwanda kutengana na kila mmoja kuendelea na maisha yake.
Soudy Brown akamcheki Shishi kujua nini kinaendelea kwa sasa kwa upande wake.. Shishi kasema kama akiwa tayari kumuweka hadharani mpenzi wake mpya basi kila mtu atamjua lakini story za yeye kuwa na uhusiano kwa sasa na watu wengine hazina ukweli wowote.
Shishi amesema kwa sasa ni yeye na kazi hana tena mawazo ya mpenzi… sauti ya Soudy Brown na Shilole kwenye U Heard hii hapa.

No comments: