![]() |
Marehemu Leticia Nyerere. |
Msiba upo DMV 9004 Brightlea Court, Lanham, MD 20706.
Leticia aliolewa kisha kutengana na mtoto wa Hayati Baba wa Taifa, Madaraka Nyerere mwaka 1996, ambapo walifanikiwa kupata watoto watatu.
Leticia alikuwa mtoto wa Mzee Musobi Mageni.
Julai 27 2015, Leticia alitangaza kuihama CHADEMA na kurejea Chama Cha Mapinduzi (CCM).
Mungu ailaze roho ya Marehemu mahali pema peponi,
=Amina.=
No comments:
Post a Comment