Friday, 29 January 2016

ZITTO KABWE:-SERIKALI YA AWAMU YA TANO INAENDESHWA KIDIKTETA.

Mh,Zitto Kabwe.{Mb}

Mijadala ya Bunge huchukua masaa 5 Dk 45 kwa siku. Nape anasema Televisheni ya Taifa itarusha mjadala uliorekodiwa kwa saa 1 tu. Halafu anasema hapatakuwa na censorship. Serikali ya Awamu ya 5 haitaki kukosolewa. Haitaki kusikia hoja mbadala. Hizi ni hatua za mwanzo za kujenga udikteta. Watanzania wasikubali

No comments: