Tuesday, 9 February 2016

Mwigulu awasili eneo la mapigano yaliyoua mbuzi 75

Mh. Mwigulu Nchemba ameagiza kamati ya Ulinzi ya mkoa na wilaya kuhakikisha waliofanya uharibifu huo wakamatwe haraka sana.
Pili ameagiza kupitia hukumu ya mahakama iliyotolewa mwaka 2015 kuweka mipaka kati ya eneo la wakulima na wafugaji itekelezwe haraka iwezekanavyo.
Mwisho Waziri Mwigulu Nchemba ameagiza kuwepo mkutano wa hadhara wa wakulima na wafugaji na viongozi wote wa serikali wa wilaya na mkoa tarehe 20/02/2016 ndani ya kata ya Hembeti.

Mh,Waziri Mwigulu Nchemba akimpa pole mmoja wa Wahanga.

No comments: