Friday, 1 April 2016

VIDEO-Rais Magufuli anawa mikono na kula na watu mgahawani Mwanza.

Ni safari yake ya kwanza kwenda nyumbani kwao Chato ambapo alishuka kwenye uwanja wa ndege Mwanza na kabla hajaondoka kwenye eneo la uwanja akatoa shilingi laki moja kununulia Wananchi soda na kisha akakaa kwenye mgahawa wa pembeni mwa uwanja wa ndege na kula chakula kama mteja mwingine wa kawaida, tazama kwenye hii video hapa chini.
iangalie VIDEO hapo chini........ 

VIDEO: Rais Magufuli alivyonunulia watu soda Mwanza na yeye akanawa mikono na kula Mgahawani

 

No comments: